
Neno la Leo
Hii ndiyo siku aliyoifanya Bwana (Zaburi 118:24). Anza siku mpya ya Yesu kwa kusiliza na kutafakari nasi “Neno la Leo” kila siku kwa lugha ya Kiswahili.
Episodes
Yefta! Somo kwa Kizazi cha Leo
Yefta. Mwamuzi aliyekataliwa na ndugu zake na kufukuzwa nyumbani. Lakini wakati wa vita, wale waliomkataa walimhitaji. Sikiliza simulizi la Yefta na ujifunze kuhusu kukataliwa, kusudi la Mungu, uongozi na nguvu ya maneno tunayoyasema.











