Home Podcasts Nukta the Podcast
Nukta the Podcast

Nukta the Podcast

Nukta Habari 85 Episodes Jul 24, 2026

Podcast ya Nukta Habari inajadili mada mbalimbali za kijamii, ikiwemo burudani, mitindo ya maisha, safari, teknolojia na biashara. Inalenga kuwafikia wasikilizaji kwa habari na makala zinazogusa maisha ya kila siku. Kila kipindi huchunguza mambo mtambuka yanayowaathiri watu katika jamii ya leo.

Episodes

Hizi ndizo Passport 5 zenye nguvu zaidi duniani
Hizi ndizo Passport 5 zenye nguvu zaidi duniani Jul 24, 2026 00:06:22 Umewahi kujikuta unatumia muda mrefu katika ofisi ya balozi ya nchi fulani ili kupata viza ?Basi fahamu kuwa baadhi ya watu duniani, usumbufu huo wanausikia TikTok. Pasipoti zao zinatosha kuingia katika nchi mbalimbali. Pasipoti ni hati ya kusafiria ambayo humwezesha raia wa taifa moja kuingia taifa lingine kwa shughuli mbalimbali ikiwemo kazi, biashara, utalii au hata kula bata tu.Licha ya kumili
FIFA kuuza kipande cha nyasi uwanja wa fainali za kombe la dunia kwa Sh1 milioni
FIFA kuuza kipande cha nyasi uwanja wa fainali za kombe la dunia kwa Sh1 milioni Jul 18, 2026 00:02:55 Mbio za fainali za Kombe la Dunia zinaendelea kuchanja mbuga huku mashabiki wa nyota wa soka Lionel Messi wakiendelea kutembea kifua mbele mara baada ya timu wa taifa ya Argentina kufanikiwa kumng’oa mwingereza kwa bao moja kwa mbili kwenye hatua ya nusu fainali.Hata hivyo kivumbi na jasho kinatarajiwa kuonekana siku ya Jumapili Julai 19, 2026 ambapo kidume wa mashindano haya makubwa zaidi ya mich
Mambo ya kuzingatia kabla kuwasha gari asubuhi
Mambo ya kuzingatia kabla kuwasha gari asubuhi Jul 15, 2026 00:04:56 Je! Unafahamu kuwa asilimia kubwa ya watu wanaoharibikiwa magari yao na kutumia gharama kubwa kufanya matengenezo hutokana na kupuuzia dalili za tatizo husika au kutofanya uchunguzi wa gari yake mara kwa mara?Huenda nawe ni miongoni mwa wasiojua nini wanatakiwa kufanya kabla ya kuwasha gari, oondoa shaka. Kupitia makala haya utaweza kufahamu ni nini hasa unatakiwa kufanya kabla ya kuwasha gari yak
Wanasoka 5 wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani
Wanasoka 5 wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani Jul 14, 2026 00:06:20 Wakati macho ya dunia yakielekezwa kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026, vita kubwa haipo tu uwanjani katika kusaka ushindi, mabao na taji, bali pia nje ya uwanja ambako nyota wa soka wanaendelea kuvuna mabilioni ya fedha kupitia mishahara, bonasi na mikataba ya matangazo.Kwa mujibu wa jarida la Forbes la nchini Marekani, wachezaji 11 wanaoshiriki Kombe la Dunia la mwaka huu wameingiza kwa pamoja
AHUENI BEI YA MAFUTA KUSHUKA
AHUENI BEI YA MAFUTA KUSHUKA Jul 2, 2026 00:06:33 Huenda watumiaji wa vyombo vya moto nchini Tanzania wakashuhudia ahueni kiduchu mara baada ya bei ya petroli, dizeli na mafuta ya taa kwa mwezi Julai kushuka kulinganisha na ile iliyokuwa ikitumika mwezi Juni.Taarifa ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) iliyotolewa usiku wa kuamkia leo Julai Mosi, 2026 inabainisha kuwa bei hizo zimepungua kutokana na kushuka kwa bei ya mafuta katika s
Wizara tano zilizoidhinishiwa fedha nyingi mwaka wa fedha 2026/27
Wizara tano zilizoidhinishiwa fedha nyingi mwaka wa fedha 2026/27 Jun 30, 2026 00:08:11  Wakati Bunge la 13 likikaribia kufunga shughuli zake, wizara 27 pamoja na Serikali Kuu zimehitimisha mchakato wa kuwasilisha na kupitisha bajeti zao, hatua inayoweka msingi wa kuanza kwa mwaka mpya wa fedha 2026/27Wizara hizo zilianza rasmi kuwasilisha bajeti zao Aprili 1, mwaka huu na kuhitimisha Juni 2, 2026, ikifuatiwa na Bajeti Kuu ya Serikali iliyoidhinishiwa Sh62.33 trilioni Juni 11,2026 kw
Part 1: Magari 10 yanayotumia mafuta kidogo
Part 1: Magari 10 yanayotumia mafuta kidogo May 18, 2026 00:06:12 Huenda una ndoto ya kumiliki gari kali lenye muonekano wa kifahari, injini kubwa na nguvu barabarani. Pamoja na ndoto hiyo kubwa ila huna uhakika iwapo utaendelea kuwa na kipato cha kulihudumia muda wote. Wasiwasi wako juu kulihudumia gari ni dhahiri kutokana na kuendelea kupanda kwa bei ya mafuta ya petroli hususan miaka ya hivi karibuni. Yafuatayo ni magari 10 yanayotumia kiwango kidogo cha mafu
JINSI MATAPELI WANAVYOPORA MAMILIONI YA WATANZANIA | EP 6
JINSI MATAPELI WANAVYOPORA MAMILIONI YA WATANZANIA | EP 6 Mar 24, 2026 00:04:31 Kila siku baadhi ya Watanzania hutuma fedha kwenda kwa wafanyabiashara wanaotangaza biashara kwenye mitandao ya kijamii kwa matumaini ya kuletewa bidhaa walizochagua.Hata hivyo, baadhi ya wauzaji hao ambao huweka picha zenye mvuto, punguzo kubwa la bei na wenye maelfu ya wafuasi, hupotea bila kuwasilisha hata bidhaa moja.Nyuma ya miamala hiyo kuna uchumi wa utapeli mtandaoni unaotumia ongezeko la
JINSI MATAPELI WANAVYOPORA MAMILIONI YA WATANZANIA | EP 5
JINSI MATAPELI WANAVYOPORA MAMILIONI YA WATANZANIA | EP 5 Mar 24, 2026 00:09:03 Kila siku baadhi ya Watanzania hutuma fedha kwenda kwa wafanyabiashara wanaotangaza biashara kwenye mitandao ya kijamii kwa matumaini ya kuletewa bidhaa walizochagua.Hata hivyo, baadhi ya wauzaji hao ambao huweka picha zenye mvuto, punguzo kubwa la bei na wenye maelfu ya wafuasi, hupotea bila kuwasilisha hata bidhaa moja.Nyuma ya miamala hiyo kuna uchumi wa utapeli mtandaoni unaotumia ongezeko la
JINSI MATAPELI WANAVYOPORA MAMILIONI YA WATANZANIA |EP 4
JINSI MATAPELI WANAVYOPORA MAMILIONI YA WATANZANIA |EP 4 Mar 22, 2026 00:06:47 Kila siku baadhi ya Watanzania hutuma fedha kwenda kwa wafanyabiashara wanaotangaza biashara kwenye mitandao ya kijamii kwa matumaini ya kuletewa bidhaa walizochagua.Hata hivyo, baadhi ya wauzaji hao ambao huweka picha zenye mvuto, punguzo kubwa la bei na wenye maelfu ya wafuasi, hupotea bila kuwasilisha hata bidhaa moja.Nyuma ya miamala hiyo kuna uchumi wa utapeli mtandaoni unaotumia ongezeko la
JINSI MATAPELI WANAVYOPORA MAMILIONI YA WATANZANIA |EP 3
JINSI MATAPELI WANAVYOPORA MAMILIONI YA WATANZANIA |EP 3 Mar 21, 2026 00:07:42 Kila siku baadhi ya Watanzania hutuma fedha kwenda kwa wafanyabiashara wanaotangaza biashara kwenye mitandao ya kijamii kwa matumaini ya kuletewa bidhaa walizochagua.Hata hivyo, baadhi ya wauzaji hao ambao huweka picha zenye mvuto, punguzo kubwa la bei na wenye maelfu ya wafuasi, hupotea bila kuwasilisha hata bidhaa moja.Nyuma ya miamala hiyo kuna uchumi wa utapeli mtandaoni unaotumia ongezeko la
JINSI MATAPELI WANAVYOPORA MAMILIONI YA WATANZANIA | EP 2
JINSI MATAPELI WANAVYOPORA MAMILIONI YA WATANZANIA | EP 2 Mar 20, 2026 00:07:56 SEHEMU YA 2| EPSODE 2. Kila siku baadhi ya Watanzania hutuma fedha kwenda kwa wafanyabiashara wanaotangaza biashara kwenye mitandao ya kijamii kwa matumaini ya kuletewa bidhaa walizochagua.Hata hivyo, baadhi ya wauzaji hao ambao huweka picha zenye mvuto, punguzo kubwa la bei na wenye maelfu ya wafuasi, hupotea bila kuwasilisha hata bidhaa moja.Nyuma ya miamala hiyo kuna uchumi wa utapeli mtandaoni

Recommended