
Chahali Podcast
Maongezi ya Chahali ni podcast inayojadili mada mbalimbali kwa lugha ya Kiswahili. Mwenyeji Evarist Chahali anawaleta wageni kuzungumzia masuala ya maisha, jamii, na utamaduni. Inalenga kuwafikia wasikilizaji wanaozungumza Kiswahili duniani kote.
Episodes
LISSU Mwaka Mmoja JELA
TUNDU LISSU: Leo Atimiza Mwaka Kamili Gerezani
ABDUL Ageukwa
EXCLUSIVE: Mtu Muhimu wa ABDUL Amgeuka | Mtafaruku Mkubwa Wazuka!Video kamili ipo hapa https://youtu.be/50NU2qu0dMA
Habari Njema Kuhusu LISSU
HABARI NJEMA! Mpango Mkubwa wa Kumtoa LISSU | Keshokutwa Anatimiza Mwaka JELA
"Kuibiwa Nyeti" π
Fahamu SIRI NZITO Nyuma ya Ishu ya KUIBIWA NYETI!Video kamili ipo hapa https://youtu.be/j8aUnh-Hisc
Sintofahamu Kubwa
Sintofahamu Kubwa: Tume Ya CHANDE | Mbunge Mpya wa SAMIAVideo kamili ipo hapa https://youtu.be/uDeCDUuyasw
SAMIA & Angela Kizigha
Siri nzito kati ya SAMIA na ANGELA KIZIGHAUnaweza kuangalia video kamili hapa https://youtu.be/7LJf4BGyN0I
Usaliti kwa LISSU
Mipango Hatari ya Usaliti Dhidi ya TUNDU LISSU na CHADEMA. Video kamili ipo hapa https://youtu.be/61vdNRile0E
Mtifuano Mkubwa
Mtifuano Mkubwa Sana
Mazito Kifo cha LUKUVI
Mazito Yaibuka Kifo cha LUKUVI
Mpango wa Kumuua LISSU
Mpango hatari ya kumuua Tundu Lissu
LISSU Anaumwa
Lissu anaumwa sana
SAMIA Atuma WASIOJULIKANA
SAMIA Atuma WASIOJULIKANA
Wimbo: Oktoba 29 HATUTOSAHAU
Wimbo maalum kuwaenzi mashujaa waliouawa Oktoba 29, 2025
Nchimbi Yuko Wapi?
Je Dokta Nchimbi Yupo Wapi?
Hatari Kubwa Sana
Hatari Kubwa Sana
Mtafaruku Mkubwa
Mtafaruku Mkubwa
Hujuma Dhidi ya LISSU
Hujuma nzito dhidi ya Tundu Lissu na Chadema
Magaidi WATANZANIA Wakamatwa
Magaidi Kadhaa Kutoka Tanzania Wakamatwa Nchini SomaliaAngalia video kamili hapa https://youtu.be/1LVIB51qQPY
MTAFARUKU MKUBWA
Mtafaruku Mkubwa
SAMIA vs WARIOBA
SAMIA SULUHU HASSAN amemshukia vikali Jaji Josef Sinde Warioba kufuatia Jaji Warioba kuongelea yaliYojiri Oktoba 29 na siku zilizofuata ambapo ripoti zinaeleza kuwa maelfu ya Watanzania walichinjwa kwa amri ya Samia. Kadhalika, makaburi kadhaa ya halaiki yamebainika, safari hii ikiwa ni katika baadhi ya mikoa zaidi ya yale yaliofahamika jijini Dar es SalaamVideo kamili ipo hapa https://youtu.be/Oh
SAMIA Lobbying USA
BREAKING NEWS: SAMIA Asaini Mkataba wa Shilingi BILIONI 2.7 Kumsafisha MAREKANI!SAMIA SULUHU HASSAN amesaini mkataba wenye thamani ya SHILINGI BILIONI 2.7 na kampuni moja ya LOBBYING ya nchini MAREKANI, Mkataba wenye lengo la KUMSAFISHA kutokana na ushiriki wake kwenye mauaji ya maelfu ya Watanzania kuanzia Oktoba 29, 2025.
Good News SAMIA ICC
GOOD NEWS! Habari Njema NNE Kuhusiana na Kesi Dhidi ya SAMIA Huko ICC
Ubashiri Tanzania 2026
Ubashiri Kuhusu Yatakayojiri Mwaka Huu 2026 | SAMIA Hatoumaliza MadarakaniVideo kamili ipo hapa https://youtu.be/1JqbBG74LZ4
Hatari Kubwa
HATARI KUBWA! Mipango ya Mauaji Yawekwa HadharaniVideo kamili ipo hapa https://youtu.be/oxKIW0Tgmvo
SAMIA Ashinda Tuzo ya DIKTETA WA MWAKA 2025
SAMIA SULUHU HASSAN ameshinda tuzo ya kimataifa ya dikteta wa mwaka 2025, habari hii ni miongoni mwa LATEST NEWS zinazo trend nchini Tanzania na kote AFRICA. Video hii inachambua kwa undani ushindi huu na pia inazungumzia mkutano mkuu wa Watanzania unaojadili mikakati muhimu. Endelea kufuatilia kwa taarifa zaidi za TRENDING.Video kamili ipo hapa https://youtu.be/40-ATVQ5DHg
Mpasuko Mkubwa
BREAKING! Mpasuko Mkubwa SANA Serikali ya SAMIA | Yaanza Kumong'onyokaVideo kamili ipo hapa https://youtu.be/Uf__2N5m7cg
SAMIA vs Kanisa Katoliki
SAMIA SULUHU HASSAN ameendeleza vita yake dhidi ya Kanisa Katoliki ambapo jana alituma genge la waandamanaji kwenda Ubalozi wa Vatican kulalamika dhidi ya viongozi wa Kanisa hilo. Miongoni mwa waandamanaji hao walikuwa waumini wa dini ya Kiislamu lakini waliojifanya ni Wakatoliki.
Samia na Mabilioni ya Maridhiano
Fedha ndefu imemwagwa na SAMIA SULUHU HASSAN kwa ajili ya kuwarubuni watu mbalimbali wakubali mpango wa maridhiano. Miongoni mwa wanaowindwa kwenye hilo ni viongozi waandamizi wa Chadema japo tayari Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Mheshimiwa John Heche ameshatoa msimamo wa chama hicho dhidi ya maridhiano. Pia kuna mpango haramu wa kugushi ridhaa ya Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Mheshimiwa Tun
Trump, Maduro na SAMIA
Wakati Rais DONALD TRUMP wa Marekani amemkamata Rais Nicolas MADURO na mkewe hapo jana, Mtanzania Thadei Kweka mwenye makazi yake nchini Marekani ambaye alikamatwa majuzi na kubambikiwa kesi ya uchocezi, ameachiwa huru jana. Hatua hiyo imetafsiriwa na wengi kama hofu ya SAMIA kufuatia kilichompata Maduro hapo jana.Video kamili ipo hapa https://youtu.be/bZeeT8uDN8o
Maria Sarungi Anusurika Kutekwa
Mwanaharakati maarufu MARIA SARUNGI amenusurika kutekwa nchini Kenya baada ya WASIOJULIKANA kuripotiwa kuwemo nchini humo wakimuwinda mwanaharakati huyo. Taarifa zinaeleza kuwa Wasiojulikana hao walitumwa na SAMIA.Makala pia inagusia sintofahamu iliyoibuka baada ya Askofu Josephat Gwajima kujitokeza kwenye mkesha wa Mwaka Mpya uliofanyika kwenye Kanisalake la Ufufuo na UzimaVideo kamili ipo hapa h
Hotuba Ya Samia Yazua Mtafaruku
Hotuba ya SAMIA SULUHU HASSAN kuaga mwaka 2025 na kukaribisha mwaka mpya 2026 imezua mtafaruku mkubwa. Wakati huohuo, mkakati muhimu wa kumng'oa umekumbwa na changamotoVideo kamili ipo hapa https://youtu.be/7krXtF0nH64
MAREKANI Yamjibu Vikali SAMIA
MAREKANI imemjibu SAMIA ambaye majuzi alizibipu nchi wahisani kwa kuwauliza wao ni nani hasa wa kuipangia Tanzania cha kufanya. Aliwauliza WHO ARE YOU?
Ripoti ya Maandamano: Yaliyojiri 30/10/25
Ripoti ya maandamano yaliyojiri tarehe 30/10/2025
Ripoti ya Maandamano: Yaliyojiri 29/10/25
Ripoti ya maandamano yanayoendelea nchini Tanzania. Hii ni ripoti kuhusu yaliyojiri 29/10/2025
Habari Njema Kwa Tundu Lissu
Habari Njema kwa Tundu Lissu
Polepole Afichua SIRI Nzito
Balozi Humprey Polepole Afichua SIRI Nzito
Masista Kampeni Za CCM Wazua Mtafaruku Katoliki
Kitendo cha baadhi ya masista wa kanisa katoliki kuonekanakwenye kampeni za CCM wakiwa wamembeba bendera za chama hicho pamoja na picha za mgombea wake wa urais wa chama hicho Samia Suluhu Hassan, kimepelekea mtafaruku mkuu ndani ya Kanisa Katoliki
Lissu Akataa Ofa ya Serikali Ahamie Ughaibuni Kesi Ifutwe
Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu amekataa ofa ya serikali kwamba akubali kwenda kuishi uhamishoni kama sharti la kumfutia kesi ya uhaini waliyombambikia.
Maafisa Usalama Wanne Wa TANZANIA Wakamatwa Marekani, Walienda Kudhuru Wakosoaji
Maafisa Usalama Wanne Wa TANZANIA Wakamatwa Marekani, Walienda Kudhuru Wakosoaji wa Serikali na Wanaokisapoti Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwenyekiti wake Mheshimiwa Tundu Lissu
Kozi ya Awali ya AI
Maana ya AINyenzo mbalimbali maarufu za AIChatGPTJinsi ya kujiunga na ChatGPTMifano ya matumizi ya ChatGPTMaswali na majibu
S03 E01: Mkakati Mkubwa Kumkwamisha Lissu Kuwania Urais Katika Uchaguzi Mkuu 2025
Makala hii exclusive inaeleza kuhusu mpango kabambe unaoendelea kuhakikisha Mwenyekiti mpya wa Chadema, Mheshimiwa Tundu Lissu hafanikiwa kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Awali Mheshimiwa Lissu alishatangaza nia ya kuwania urais, japo hajatamka tena baada ya kushinda uenyekiti wa taifa wa chama hicho kikuu cha upinzani.
Otherw
S02E04: Maongezi na Mtangazaji Maarufu wa Wasafi Media Charles William
S02E04: Maongezi na Mtangazaji Maarufu wa Wasafi Media Charles William
Charles anajibu maswali haya
1. Charles William ni nani
2. Nini kilikuvutia kuingia kwenye fani ya habari
3. Changamoto gani ulizokumbana nazo katika safari yako hadi kufikia ulipo, na zipi zilizopo sasa
4. Wewe sio tu ni mmoja ya watangazaji maarufu Tanzania bali ni mmoja wa watu maarufu Tanzania. Je zipi ni faida za umaarufu
S02E03: Uchambuzi Kuhusu Kuuawa Haniyeh Huko Irani, Vurugu Kubwa Uingereza
S02E03: Uchambuzi kuhusu kuuawa kwa Haniyeh huko Irani, na vurugu kubwa nchini Uingereza
S02E02: Mahojiano na Mwanahabari Nguli Afrika Mashariki, Jackie Lumbasi
S02E02: Mahojiano na Mwanahabari Nguli Afrika Mashariki, Jackie Lumbasi
S02 E01: Uzinduzi
Uzinduzi wa Season 02
Uchambuzi Kuhusu Mabadiliko Baraza la Mawaziri
Uchambuzi mfupi kuhusu mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri yaliyotangazwa Julai 21, 2024
Uchambuzi Kuhusu Jaribio la Mauaji Dhidi ya Donald Trump
1. Kilichojiri
2. Mhusika
3. Haki ya kikatiba kumiliki silaha Marekani inavyochangia mauaji holela
4. Trump kama mhanga wa kauli zake, mfano alivyohamasisha wafuasi wake kuvamia Kongresi Januaru 6, 2021
5. Zama za Fake, siasa za uhasama kati ya Republicans vs Democrats
6. Biden hahusiki lakini haijalishi alimradi watu wanaamini hivyo
7. Shinikizo dhidi ya Biden ajiondoe kuwania urais kama kisingi
Uhusiano Kati Ya Ujasusi na Kusulubiwa kwa Bwana Yesu Kristo
Makala hii fupi inakufahamisha kuhusu uhusiano kati ya intelijensia hususan ujasusi na Juma Kuu, hususan Jumatano Kuu ambayo pia hufahamika kama Jumatano ya Kijasusi (Spy Wednesday). Kadhalika, makala inamwangalia Yuda Iskariote kama pandikizi aliyemsaliti Bwana Yesu
Wakati Mama Samia anasema kuna mtandao wa wizi serikalini, Waziri Mwigulu adai hakuna, Waziri Mchengerwa adai wizi ni wa zama za JPM
Wakati Mama Samia anasema kuna mtandao wa wizi wa fedha za serikali, Waziri wake wa Fedha (Mwigulu) adai hakuna wizi serikalini, Waziri Mchengerwa adai huo ni wizi wa "zama za JPM" π€
Taarifa ya kiintelijensia: Situation Report (SITREP) kuhusu hali ya Rais Mstaafu Mzee Mwinyi
Taarifa ya kiintelijensia: Situation Report (SITREP) kuhusu hali ya Rais Mstaafu Mzee Mwinyi
Happy birthday Tanganyika, Happy birthday Jasusi, na Uzinduzi wa kitabu cha UJASUSI
Happy birthday Tanganyika, Happy birthday Jasusi, na Uzinduzi wa kitabu cha UJASUSI
Jinsi ya Kuwa Mtu Bora S01E05: Jinsi ya Kutatua Tatizo Lolote Lile Maishani
Jinsi ya Kuwa Mtu Bora S01E05: Jinsi ya Kutatua Tatizo Lolote Lile Maishani
Jinsi ya Kuwa Mtu Bora S01E04: Jinsi ya Kujiandaa Dhidi ya Majanga Maishani
Jinsi ya Kujiandaa Dhidi ya Majanga Maishani
Jinsi ya Kuwa Mtu Bora S01E03: Tabia 14 Zinavyokwamisha Maendeleo ya Mtu
Episode ya tatu katika mfululizo wa makala kuhusu mbinu mbalimbali za kukufanya kuwa mtu bora. Episode hii inahusu tabia 14 zinazokwamisha maendeleo ya mtu
#JinsiYaKuwaMtuBora S01E02: Vitu 15 Rahisi Kabisa Vya Kukuwezesha Kuwa Mtu Bora
Episode ya pili katika Season kwa Kwanza ya mfululizo wa makala hizi za #JinsiYaKuwaMtuBora, neno ambalo ni tafsiri niliyobuni ya "Personal Development".
#JinsiYaKuwaMtuBora S01E01: Jiulize "Mimi ni nani"?
"Jinsi ya Kuwa Mtu Bora" ni tafsiri isiyo rasmi ya "Personal Development." Mada za kuhusu "Jinsi ya Kuwa Mtu Bora" zinapatikana katika kijarida (newsletter) cha "AdelPhil Online Academy" (chuo cha bure cha mtandaoni kinachofundisha bure kozi mbalimbali) . Ikikupendeza, fanya kujisajili leo
Maongezi baina yangu na mwandamizi mmoja huko serikalini kuhusu mkataba wa bandari
Maongezi baina yangu na mwandamizi mmoja huko serikalini kuhusu mkataba wa bandari
Jenerali Muhoozi atangaza rasmi kuwania urais Uganda, vipi hatma ya Baba yake Museveni? Atampindua?
Jenerali Muhoozi atangaza rasmi kuwania urais Uganda, vipi hatma ya Baba yake Museveni? Atampindua?
Jinsi ya Kujiunga na Idara ya Usalama wa Taifa Tanzania
Jinsi ya Kujiunga na Idara ya Usalama wa Taifa Tanzania
Happy Mother's Day
Happy Mother's Day
Machi 12 kama leo, mwaka jana, nilitangaza kifo cha Magufuli... kilichofuata sintokisahau maishani
Machi 12 kama leo, mwaka jana, nilitangaza kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli. Kabla ya tangazo langu hilo, tayari kulikuwa na tetesi kadhaa kwamba afya ya kiongozi huyo ilikuwa tete. Hata hivyo, kwa kupitia vyanzo vyangu vya kuaminika, nilikuwa mtu wa kwanza kutangaza kifo hicho. Lakini madhila yaliyonikumba baada ya kuweka taarifa hiyo hadharani, sintoyasah
Heri ya Mwaka Mpya 2022: Malengo 10 ya Mwaka mpya (New Year's Resolutions)
Heri ya Mwaka Mpya 2022: Malengo 10 ya Mwaka mpya (New Year's Resolutions)
#JasusiPodcast inawatakia heri na baraka za sikukuu ya Krismasi na maandalizi mema ya kuipokea 2022
#JasusiPodcast inawatakia heri na baraka za sikukuu ya Krismasi na maandalizi mema ya kuipokea 2022
Miaka 60 ya Uhuru wa "Tanganyika" - Changamoto Mbalimbali Zinazolikabili Taifa Letu na Ufumbuzi Wake
Miaka 60 ya Uhuru wa "Tanganyika" - Changamoto Mbalimbali Zinazolikabili Taifa Letu na Ufumbuzi Wake
Maadhimisho ya #SikuYaAfyaYaAkiliDuniani: Uzoefu wangu binafsi na nyenzo zilizonisaidia
Maadhimisho ya #SikuYaAfyaYaAkiliDuniani: Uzoefu wangu binafsi na nyenzo zilizonisaidia
Mahojiano na PHENTY KIRIA - Mwanzilishi Na Mmiliki wa Kampuni Ya Lishe Ya Lolo, Social Media Influencer, Mhamasishaji Mitandao Ya Kijamii Kuwa Sehemu Salama (SOSDiplomats), na Mhamasishaji Lishe Bora
Mahojiano na PHENTY KIRIA - Mwanzilishi Na Mmiliki wa Kampuni Ya Lishe Ya Lolo, Social Media Influencer, Mhamasishaji Wa Kufanya Mitandao Ya Kijamii Kuwa Sehemu Salama, Mhamasishaji wa Lishe Bora. Unaweza kumfolo Phenty kwa akaunti yake ya Twitter na Instagram
Uchambuzi wa Kiintelijensia: Taarifa Zaidi Kuhusu Hamza Hassan Mohammed Na "Motive" Ya Mauaji
Uchambuzi wa Kiintelijensia: Taarifa Zaidi Kuhusu Hamza Hassan Mohammed Na "Motive" Ya Mauaji
Ugaidi Au La? Uchambuzi Wa Kiintelijensia Kuhusu Tukio La Mtu Aliyeua Polisi Watatu Na Mlinzi Dar.
Ugaidi Au La? Uchambuzi Wa Kiintelijensia Kuhusu Tukio La Mtu Aliyeua Polisi Watatu Na Mlinzi Dar.
Uchambuzi wa Kijasusi: Kesi Ya Mbowe, Uamsho Na Gwajima Dhidi Ya Chanjo, Ziara Ya Mama Samia Rwanda
Uchambuzi wa Kijasusi: Kesi Ya Mbowe, Uamsho Na Gwajima Dhidi Ya Chanjo, Ziara Ya Mama Samia Rwanda
Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu taarifa ya polisi kwamba wanamshikilia Mbowe kwa tuhuma za ugaidi
Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu taarifa ya polisi kwamba wanamshikilia Mbowe kwa tuhuma za ugaidi
Mahojiano Na Captain Khalid, Mtanzania Mkazi Wa Ujerumani Anayetikisa Kwenye Comedy Kimataifa
Mahojiano Na Captain Khalid, Mtanzania Mkazi Wa Ujerumani Anayetikisa Kwenye Comedy Kimataifa
Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu #SikuMiaZaSamia: Alikotoka, Alipo Na Aendako
Uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu #SikuMiaZaSamia: Alikotoka, Alipo Na Aendako
Maongezi Na Mwanasoka Wa Kimataifa Wa TZ @HimidMao Anaechezea Entag El Harby ya Misri na Taifa Stars
Mahojiano exclusive na mwanasoka wa kimataifa wa Tanzania, Himid Mao Mkami, anayechezea klabu ya Entag El Harby ya Misri na pia ni mchezaji wa timu yetu ya taifa, Taifa Stars. Katika mahojiano haya, Himid anaeleza safari yake katika soka, changamoto za soka la Tanzania na kimataifa, tofauti ya mazingira ya soka la Tanzania na soka la Misri, nini kifanyike kukwamua soka la Tanzania, na ushauri wake
Mahojiano na Rahma Bajun: ameugua kipandauso miaka 21 na sasa amechapisha kitabu kuhusu ugonjwa huo
Mahojiano na Rahma Bajun, ambaye pamoja na shughuli nyingine, ni mwandishi, anaeleza kuhusu maradhi ya kipandauso, aliyopata akiwa na miaka 12, na yamedumu kwa miaka 21. Na sasa amechapisha kitabu maalum kuhusu safari yake kimaisha akiwa anasumbuliwa na maradhi hayo. Kitabu kinaitwa "The Wave."
Mahojiano Na Dokta @ZakayoMmbaga: Jinsi Kuuguliwa Udogoni Kulivyompa Hamasa Ya Kuja Kuwa Daktari
Katika mahojiano haya, Dokta Zakayo Mmbaga anaeleza kuhusu
π Jinsi kuuguliwa na nduguye kulivyomfanya atamani siku moja awe daktari, na hatimaye ikaja kuwa hivyo.
π Jinsi kusaidia kuhudumia mifugo kulivyompa uzoefu wa kwanza wa kuchoma sindano na kutibu vidonda, na kumtamanisha zaidi kuja kuwa daktari.
π Jinsi alivyorudi likizo na kukuta nduguye anaumwa kansa lakini ndugu wengine
Mahojiano Na Mwanasiasa Mkongwe wa Chadema Na Upinzani ALLY BANANGA
Katika mahojiano haya, mwanasiasa mkongwe wa Chadema na upinzani kwa ujumla, Ally Bananga, anaeleza kwa kifupiΒ
π historia yake kisiasa,Β
π hali ya kisiasa ilivyokuwa nchini Tanzania katika kipindi cha utawala wa Magufuli na jinsi "alivyosalimika," πsuala la wabunge wa viti maalum wa Chadema ambapo mmoja wa wabunge hao ni Hawa Bananga mke wa mhojiwa,Β
π "vita" kati ya baadhi ya "wanaharakati wa mt
Mwelekeo Mpya Wa Podcast Hii: Sasa Mtu Yeyote Anayehitaji Kuhojiwa, Anakaribishwa
Mwelekeo Mpya Wa Podcast Hii: Sasa Mtu Yeyote Anayehitaji Kuhojiwa, Anakaribishwa
Uchambuzi Mfupi Kuhusu "Bajeti Ya Mwigulu" Na Mama @SuluhuSamia Kumtumbua RC Chalamila
Uchambuzi Mfupi Kuhusu "Bajeti Ya Mwigulu" Na Mama @SuluhuSamia Kumtumbua RC Chalamila
Tuzo Za BET 2021: Wanaomsapoti Na Wanaompinga Diamond Platnumz vs Jinsi KURA ZA BET Zinavyopigwa
Tuzo Za BET 2021: Wanaomsapoti Na Wanaompinga Diamond Platnumz vs Jinsi KURA ZA BET Zinavyopigwa
Uchambuzi Wa Kijasusi: Shambulio La Kidukuzi (DDoS) Kwa Mfumo Wa Luku Na Hujuma Dhidi Ya Mama Samia
Uchambuzi Wa Kijasusi: Shambulio La Kidukuzi (DDoS) Kwa Mfumo Wa Luku Na Hujuma Dhidi Ya Mama Samia











