Home Podcasts Radio Maria Tanzania
Radio Maria Tanzania

Radio Maria Tanzania

Radio Maria Tanzania 300 Episodes Aug 20, 2026

Podcast hii inaelezea historia na maendeleo ya Radio Maria, redio ya Kikatoliki iliyoanzia Italia katika miaka ya 90 na kuenea katika mabara yote. Inasimulia jinsi Familia ya Ulimwengu ya Radio Maria ilivyozaliwa mnamo Juni 1998, na kuwa NGO inayotambuliwa na UN yenye makao makuu huko Roma. Pia inajadili ushirikiano kati ya redio mbalimbali za Radio Maria duniani, chini ya uelekezi wa Radio Maria Italia, na jinsi zinavyotekeleza mradi wa kimisionari na kujibu maombi ya waumini. Inasisitiza umuhimu wa kudumisha uhalisi wa chapa na kutoa usaidizi wa kiufundi kwa redio zote katika familia hiyo.

Episodes

Fahamu umuhimu wa AMECEA 2026 kwa Vijana
Fahamu umuhimu wa AMECEA 2026 kwa Vijana Aug 20, 2026 52:47 Ungana nami Mtanagzaji wako Festo Chahali katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa akiendelea kutufundisha juu ya umuhimu wa Amecea 2026 kwa Vijana L'articolo Fahamu umuhimu wa AMECEA 2026 kwa Vijana proviene da Radio Maria.
Fahamu umuhimu wa Amecea 2026 kwa Vijana
Fahamu umuhimu wa Amecea 2026 kwa Vijana Aug 20, 2026 59:07 Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa akitufundisha juu ya Amecea na Vinaja. L'articolo Fahamu umuhimu wa Amecea 2026 kwa Vijana proviene da Radio Maria.
Je, unafahamu Tanzania kuna jumla ya Majimbo Katoliki Mangapi?
Je, unafahamu Tanzania kuna jumla ya Majimbo Katoliki Mangapi? Aug 20, 2026 54:07 Karibu uungane nami Paschal Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoka akiendelea kujibu maswali ya msikilizaji na moja la maswali hayo ni je, Tanzania kuna jumla ya majimbo mangapi Katoliki? L'articolo Je, unafahamu Tanzania kuna jumla ya Majimbo Katoliki Mangapi? proviene da Radio Maria.
Je, Mtu akibatizwa katika dhehebu lingine anaweza kubatizwa tena?
Je, Mtu akibatizwa katika dhehebu lingine anaweza kubatizwa tena? Aug 20, 2026 53:05 Karibu uungane nami Partick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, ambapo leo studio nipo na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba akiendelea kujibu maswali ya wasikilizaji wetu, moja ya swali alilojibu ni je, mtu akibatizwa katika dhehebu lingine awaweza kubatizwa tena? L'articolo Je, Mtu akibatizwa katika dhehebu lingine anaweza kubatizwa tena? provien
UMUHIMU WA UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA
UMUHIMU WA UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA Aug 17, 2026 55:08 MWEZESHAJI NI AFISA UTAFITI MWANDAMIZI COSTECH KUTOKA OFISI YA MFUKO WA TAIFA WA UENDELEZAJI WA SAYANSI NA TEKNOLOJIA NTUFYE MWAKIGONJA CHAKULA NA LISHE AUGUST 13 MADA;UMUHIMU WA UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA MWEZESHAJI NI NUSURA SALUMU KUTOKA TFNC L'articolo UMUHIMU WA UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA proviene da Radio Maria.
FAMILIA TIBA YA MAJERAHA YA ULIMWENGU
FAMILIA TIBA YA MAJERAHA YA ULIMWENGU Aug 13, 2026 55:47 KIPINDI HEWANI: PRO LIFE MADA: FAMILIA TIBA YA MAJERAHA YA ULIMWENGU MADA NDOGO: MAANA YA FAMILIA MTANGAZAJI: PENDO STEPHANO L'articolo FAMILIA TIBA YA MAJERAHA YA ULIMWENGU proviene da Radio Maria.
ASILI YA TAMAA NA URAIBU
ASILI YA TAMAA NA URAIBU Aug 13, 2026 59:56 Kipindi: Uraibu Mada:  Asili ya Tamaa na Uraibu Kimeruka hewani Agosti 11, 2026 L'articolo ASILI YA TAMAA NA URAIBU proviene da Radio Maria.
Nidhamu na adabu katika Malezi ya Mtoto
Nidhamu na adabu katika Malezi ya Mtoto Jul 30, 2026 57:02 Kipindi:  Walinde watoto Mada: Nidhamu na adabu katika malezi ya mtoto Mwezeshaji ni Padre Dr Peter Siamoo Mtangazaji: Elizabeth Masanja   L'articolo Nidhamu na adabu katika Malezi ya Mtoto proviene da Radio Maria.
Uraibu unajengwa kwa muda gani?
Uraibu unajengwa kwa muda gani? Jul 30, 2026 59:48 Kipindi cha Uraibu kinaruka saa tatu usiku Mada: Uraibu unajengwa kwa muda gani? Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo la Moshi L'articolo Uraibu unajengwa kwa muda gani? proviene da Radio Maria.
BUSTANI TIBA UHUSIANO ULIOPO KATI YA VIUMBE NA MWILI WA BINADAMU 
BUSTANI TIBA UHUSIANO ULIOPO KATI YA VIUMBE NA MWILI WA BINADAMU  Jul 30, 2026 45:55 KIPINDI ELIMU JAMII MTANGAZAJI PETER ALPHAXAD MADA:MGENI SISTER ANJELA JEREMIAH MKURUGENZI WA ANTONIA VERNA REHABILITATION CENTER L'articolo BUSTANI TIBA UHUSIANO ULIOPO KATI YA VIUMBE NA MWILI WA BINADAMU  proviene da Radio Maria.
“Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???”
“Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???” Jul 27, 2026 55:38 Kipindi: FAMILIA BORA NYUMBA AMINIFU Mada: “Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???” Mtangazaji: Festo Chahali   L'articolo “Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???” proviene da Radio Maria.
 Haki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na Wakati wa kupekuliwa
 Haki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na Wakati wa kupekuliwa Jul 22, 2026 57:37 Kipindi-: Ijue Sheria Mada-: Haki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na  Wakati wa kupekuliwa. Mtangazaji: Peter Alaphaxad Mwendesha Mada-: ni Mheshimiwa EDWARD USORO HAKIMU MKAZI MWANDAMIZI WILAYA YA MUFINDI ALIKUWEPO PIA INSPECTOR AHMED MAGENDA L'articolo  Haki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na Wakati wa kupekuliwa proviene da Radio Maria.

Recommended