
Radio Maria Tanzania
Podcast hii inaelezea historia na maendeleo ya Radio Maria, redio ya Kikatoliki iliyoanzia Italia katika miaka ya 90 na kuenea katika mabara yote. Inasimulia jinsi Familia ya Ulimwengu ya Radio Maria ilivyozaliwa mnamo Juni 1998, na kuwa NGO inayotambuliwa na UN yenye makao makuu huko Roma. Pia inajadili ushirikiano kati ya redio mbalimbali za Radio Maria duniani, chini ya uelekezi wa Radio Maria Italia, na jinsi zinavyotekeleza mradi wa kimisionari na kujibu maombi ya waumini. Inasisitiza umuhimu wa kudumisha uhalisi wa chapa na kutoa usaidizi wa kiufundi kwa redio zote katika familia hiyo.
Episodes

Fahamu umuhimu wa AMECEA 2026 kwa Vijana
Ungana nami Mtanagzaji wako Festo Chahali katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa akiendelea kutufundisha juu ya umuhimu wa Amecea 2026 kwa Vijana
L'articolo Fahamu umuhimu wa AMECEA 2026 kwa Vijana proviene da Radio Maria.

Fahamu umuhimu wa Amecea 2026 kwa Vijana
Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa akitufundisha juu ya Amecea na Vinaja.
L'articolo Fahamu umuhimu wa Amecea 2026 kwa Vijana proviene da Radio Maria.

Je, unafahamu Tanzania kuna jumla ya Majimbo Katoliki Mangapi?
Karibu uungane nami Paschal Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoka akiendelea kujibu maswali ya msikilizaji na moja la maswali hayo ni je, Tanzania kuna jumla ya majimbo mangapi Katoliki?
L'articolo Je, unafahamu Tanzania kuna jumla ya Majimbo Katoliki Mangapi? proviene da Radio Maria.

Je, Mtu akibatizwa katika dhehebu lingine anaweza kubatizwa tena?
Karibu uungane nami Partick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, ambapo leo studio nipo na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba akiendelea kujibu maswali ya wasikilizaji wetu, moja ya swali alilojibu ni je, mtu akibatizwa katika dhehebu lingine awaweza kubatizwa tena?
L'articolo Je, Mtu akibatizwa katika dhehebu lingine anaweza kubatizwa tena? provien

UMUHIMU WA UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA
MWEZESHAJI NI AFISA UTAFITI MWANDAMIZI COSTECH KUTOKA OFISI YA MFUKO WA TAIFA WA UENDELEZAJI WA SAYANSI NA TEKNOLOJIA NTUFYE MWAKIGONJA CHAKULA NA LISHE AUGUST 13 MADA;UMUHIMU WA UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA MWEZESHAJI NI NUSURA SALUMU KUTOKA TFNC
L'articolo UMUHIMU WA UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA proviene da Radio Maria.

FAMILIA TIBA YA MAJERAHA YA ULIMWENGU
KIPINDI HEWANI: PRO LIFE MADA: FAMILIA TIBA YA MAJERAHA YA ULIMWENGU MADA NDOGO: MAANA YA FAMILIA MTANGAZAJI: PENDO STEPHANO
L'articolo FAMILIA TIBA YA MAJERAHA YA ULIMWENGU proviene da Radio Maria.

ASILI YA TAMAA NA URAIBU
Kipindi: Uraibu Mada: Asili ya Tamaa na Uraibu Kimeruka hewani Agosti 11, 2026
L'articolo ASILI YA TAMAA NA URAIBU proviene da Radio Maria.

Nidhamu na adabu katika Malezi ya Mtoto
Kipindi: Walinde watoto Mada: Nidhamu na adabu katika malezi ya mtoto Mwezeshaji ni Padre Dr Peter Siamoo Mtangazaji: Elizabeth Masanja
L'articolo Nidhamu na adabu katika Malezi ya Mtoto proviene da Radio Maria.

Uraibu unajengwa kwa muda gani?
Kipindi cha Uraibu kinaruka saa tatu usiku Mada: Uraibu unajengwa kwa muda gani? Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo la Moshi
L'articolo Uraibu unajengwa kwa muda gani? proviene da Radio Maria.

BUSTANI TIBA UHUSIANO ULIOPO KATI YA VIUMBE NA MWILI WA BINADAMU
KIPINDI ELIMU JAMII MTANGAZAJI PETER ALPHAXAD MADA:MGENI SISTER ANJELA JEREMIAH MKURUGENZI WA ANTONIA VERNA REHABILITATION CENTER
L'articolo BUSTANI TIBA UHUSIANO ULIOPO KATI YA VIUMBE NA MWILI WA BINADAMU proviene da Radio Maria.

“Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???”
Kipindi: FAMILIA BORA NYUMBA AMINIFU Mada: “Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???” Mtangazaji: Festo Chahali
L'articolo “Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???” proviene da Radio Maria.

Haki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na Wakati wa kupekuliwa
Kipindi-: Ijue Sheria Mada-: Haki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na Wakati wa kupekuliwa. Mtangazaji: Peter Alaphaxad Mwendesha Mada-: ni Mheshimiwa EDWARD USORO HAKIMU MKAZI MWANDAMIZI WILAYA YA MUFINDI ALIKUWEPO PIA INSPECTOR AHMED MAGENDA
L'articolo Haki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na Wakati wa kupekuliwa proviene da Radio Maria.

Je, Damu ya Yesu ina thamani gani kwa hadhi ya mwanadamu?
Damu Azizi ya Kristo si alama tu ya mateso yake, bali ni chemchemi ya ukombozi, upatanisho na heshima mpya kwa kila mwanadamu. Katika kipindi hiki, Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu – Sauti ya Faraja, anafafanua kwa kina uhusiano kati ya Damu Azizi ya Kristo na hadhi ya mwanadamu kwa mwanga wa imani […]
L'articolo Je, Damu ya Yesu ina thamani gani kwa hadhi ya mwanadamu? pro

Kama Bikira Maria alikuwa ameweka nadhiri ya ubikira, kwa nini alikubali kuposwa na Yosefu?
Je, inawezekanaje Bikira Maria awe ameweka nadhiri ya ubikira na wakati huo huo akakubali kuposwa na Yosefu? Swali hili limekuwa likiulizwa na waamini wengi kwa karne nyingi. Katika kipindi hiki, Frateri Ayuto Kongo kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho anafafanua kwa kina suala hili kwa kuzingatia Maandiko Matakatifu, mapokeo ya Kanisa na mafundisho ya […]
L'articolo Kama Bikira Mar

Neno “Ibada” katika muktadha wa Kikristo linaelewekaje?
Katika kipindi hiki, Frateri Ayuto Kongo kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho anafafanua maana ya neno ibada katika muktadha wa Kikristo, akieleza msingi wake katika imani na namna linavyopaswa kuonekana katika maisha ya kila siku. Karibu utazame
L'articolo Neno “Ibada” katika muktadha wa Kikristo linaelewekaje? proviene da Radio Maria.

Nena Nami Bwana na Askofu Almachius Vincent Rweyongeza
Karibu kusikiliza kipindi cha Nena Nami Bwana, ambapo Askofu Almachius Vincent Rweyongeza anatafakari Neno la Mungu na kutoa mafundisho yanayolenga kuimarisha imani, matumaini na upendo katika maisha ya kila siku ya Mkristo. Tunakukaribisha usikilize tafakari hii, uibariki kwa kuishiriki na wengine, na usisahau kujiunga na chaneli yetu ili kuendelea kupokea mafundisho na vipindi vingine vya […]
L'

Maisha ni Safari: Msimuliaji Stephano anaelezea kwa undani zaidi
KIPINDI HEWANI: MAISHA NI SAFARI Mada: Maisha ya Stephano Mtangazaji: Martin Joseph Siku: Ijumaa Julai 17, 2026
L'articolo Maisha ni Safari: Msimuliaji Stephano anaelezea kwa undani zaidi proviene da Radio Maria.

Wajibu wa Mawakili wa Kujitegemea kwa mahakama,wateja na Umma
Kipindi Hewani: Ijue Sheria Mada:Wajibu wa Mawakili wa Kujitegemea kwa mahakama,wateja na Umma wageni/wawezeshaji Mheshimiwa Nives Mahuwi Hakimu Mkazi na Mheshimiwa Rose Haule Hakimu Mkazi Eneo: Mahakama ya mwanzo Bomani Studio Elizabeth Masanja
L'articolo Wajibu wa Mawakili wa Kujitegemea kwa mahakama,wateja na Umma proviene da Radio Maria.

Pro – Life: Malezi na Usafi wa Moyo
KIPINDI – PRO LIFE Mada ndogo Usafi wa Moyo Wawezeshaji ni Wanapro life Tanzania Studio: Pendo Stephano
L'articolo Pro – Life: Malezi na Usafi wa Moyo proviene da Radio Maria.

Madhara ya kutomsikiliza mtoto aliyenyanyaswa Ukubwani
KARIBU USIKILIZE KIPINDI CHA WALINDE WATOTO Mada: Madhara ya kutomsikiliza mtoto aliyenyanyaswa. Mtangazaji: Martin Joseph 🎙️ Mtoa mada: Daktari Padre Peter Siamoo kutoka Moshi. 📅 Jumapili, tarehe 5 Julai 2026.
L'articolo Madhara ya kutomsikiliza mtoto aliyenyanyaswa Ukubwani proviene da Radio Maria.

Taratibu za Wadaawa kuwakilishwa na Mawakili wa Kujitegemea katika Mahakama za Mwanzo
KIPINDI: IJUE SHERIA 📅 Kila Jumatatu saa 8:00 mchana Kipindi hiki kilirushwa Jumatatu, tarehe 6 Julai 2026. Mada: Taratibu za wadaawa kuwakilishwa na mawakili wa kujitegemea katika Mahakama za Mwanzo. 🎙️ Mwezeshaji: Mheshimiwa Hekima Nyalusi, Hakimu Mkazi katika Mahakama ya Mwanzo Bomani, Mkoa wa Iringa.
L'articolo Taratibu za Wadaawa kuwakilishwa na Mawakili wa Kujitegemea katika Mahakama za Mwan

Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono
Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Mwezeshaji ni Davis John kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi Mada ni Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono Mtangazaji Elizabeth Masanja Tarehe 19 Aprili 2026
L'articolo Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono proviene da Radio Maria.

Tujifunze juu ya mtoto kabala ya kumpatia ushauri nasaha.
Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Padre Peter Siamo kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi Swali ni Ushauri nasaha kwa watoto Mtangazaji Peter Alphaxad. Tarehe 29 Machi 2026
L'articolo Tujifunze juu ya mtoto kabala ya kumpatia ushauri nasaha. proviene da Radio Maria.

Maandalizi ya familia na Sakramenti ya kitubio kuelekea Pasaka.
Karibu usikilize Kipindi cha Familia Bora nyumba Aminifu. Mada ni Tafakari ya kipindi cha Kwaresima? Tarehe 15 Machi 2026
L'articolo Maandalizi ya familia na Sakramenti ya kitubio kuelekea Pasaka. proviene da Radio Maria.

Hii ndiyo njia ya utoaji ripoti juu ya unyanyasaji wa watoto
Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Wawezeshaji ni Sista Mariselina John na Sista Patricia Kijuu Mada ni Utoaji ripoti juu ya unyanyasaji wa watoto Mtangazaji Elizabeth Masanja Tarehe 01 Machi 2026
L'articolo Hii ndiyo njia ya utoaji ripoti juu ya unyanyasaji wa watoto proviene da Radio Maria.

Fahamu faida za kanunia ya imani
Karibu usikilize Ujumbe wa Biblia. Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino-SAUT,Jimbo Kuu Katoliki Mwanza. Mada ni Maadaui wanne wa mwanadamu Tarehe 02 Machi 2026
L'articolo Fahamu faida za kanunia ya imani proviene da Radio Maria.

Uaminifu katika kufanya kazi ya Mungu.
Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 12 Machi 2026
L'articolo Uaminifu katika kufanya kazi ya Mungu. proviene da Radio Maria.

Maisha ya ushuhudu kama chama cha kitume.
Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bi Rose Gerrad Katibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 17 Aprili 2026
L'articolo Maisha ya ushuhudu kama chama cha kitume. proviene da Radio Maria.

Fahamu wajibu wakiongozi katika kuwaunganisha watu.
Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bi Rose Gerrad Katibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 10 Aprili 2026
L'articolo Fahamu wajibu wakiongozi katika kuwaunganisha watu. proviene da Radio Maria.

Hii ndiyo furaha ya Utume wetu
Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 20 Machi 2026
L'articolo Hii ndiyo furaha ya Utume wetu proviene da Radio Maria.

Uvumilivu ni nguzo inayoshikilia utume wa walei.
Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 27 Februari 2026
L'articolo Uvumilivu ni nguzo inayoshikilia utume wa walei. proviene da Radio Maria.

Fahamu thamani ya unyenyekevu katika uongozi wa Kanisa Katoliki.
Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 20 Februari 2026
L'articolo Fahamu thamani ya unyenyekevu katika uongozi wa Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.

Fahamu Hatua za ukuaji wa mtoto baada ya kuzaliwa.
Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bw. Godfrey Mkaikuta, Anthon Liepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Hatua za ukuaji wa mtoto Tarehe 21 Aprili 2026
L'articolo Fahamu Hatua za ukuaji wa mtoto baada ya kuzaliwa. proviene da Radio Maria.

Fahamu wajibu wa Wazazi na jamii katika malezi ya mtoto.
Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Anthon Liepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Malezi ya Mtoto baada ya kuzaliwa Tarehe 14 Aprili 2026
L'articolo Fahamu wajibu wa Wazazi na jamii katika malezi ya mtoto. proviene da Radio Maria.

Fahamu thamani ya mwanamke wa leo katika kuleta uhai.
Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Anthon Liepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresma Na Thamani ya Uhai wa Binadamu Tarehe 31 Machi 2026
L'articolo Fahamu thamani ya mwanamke wa leo katika kuleta uhai. proviene da Radio Maria.

Fahamu nafasi ya Imani katika kutetea uhai.
Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresma Na Thamani ya Uhai wa Binadamu Tarehe 24 Machi 2026
L'articolo Fahamu nafasi ya Imani katika kutetea uhai. proviene da Radio Maria.

Ifahamu nguvu ya Mwanamke katika kulinda uhai.
Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Anthony Lihepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresima na thamani wa uhai Tarehe 10 Machi 2026
L'articolo Ifahamu nguvu ya Mwanamke katika kulinda uhai. proviene da Radio Maria.

Kwanini tunaruhusu watoto kuendelea kuuwawa kipindi hichi cha Kwaresima?
Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Janet Akkaro na Witnes Joachim Mada ni Kwaresima na thamani wa uhai Tarehe 03 Machi 2026
L'articolo Kwanini tunaruhusu watoto kuendelea kuuwawa kipindi hichi cha Kwaresima? proviene da Radio Maria.

Kwanini sherehe ani ufufuko wa bwana wetu Yesu Kristo yaani Pasaka haina tarehe malumu?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri James Mwakibisa, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini sherehe ani ufufuko wa bwana wetu Yesu Kristo yaani Pasaka haina tarehe malumu? Tarehe 31 Machi 2026
L'articolo Kwanini sherehe ani ufufuko wa bwana wetu Yesu Kristo yaani Pasaka haina tarehe malumu? proviene da

Mara nyingi Tumekuwa Tukisisitizwa Na Mapadre kuwaombea Marehemu Ndugu Zetu Mbona Katika Maandiko Matakatifu hamna Sehemu inayoagiza kwamba Tuwaombee Marehemu
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Job Fidelis Baroka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Mara nyingi Tumekuwa Tukisisitizwa Na Mapadre kuwaombea Marehemu Ndugu Zetu Mbona Katika Maandiko Matakatifu hamna Sehemu inayoagiza kwamba Tuwaombee Marehemu Tarehe 30 Machi 2026
L'articolo Mara nyingi Tumekuwa Tuki

Je sahihi kwa katekista kuvaa Saplisi wakati wa ibada?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Barnabas Mushi, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je sahihi kwa katekista kuvaa Saplisi wakati wa ibada? Pia naomba kujua maana ya kila vazi linalovaliwa wakati wa adhimisho la Sadaka ya Misa Takatifu. Tarehe 29 Machi 2026
L'articolo Je sahihi kwa katekista kuvaa Saplis

Je ni sahihi mtu akiwa kwenye mfungo wowote ule kupokea Ekaristi Takatifu?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je! ni sahihi mtu kupokea Ekaristi Takatifu akiwa kwenye mfungo wa kwaresma huku akiwa amefunga chakula, pamoja na matendo mengine yahusuyo kipindi hicho cha kwaresma? Tarehe 27 Machi 2026
L'articolo Je ni sahihi mt

Je! Tufanyeje na tuyashindaje majaribu?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Benedict luvanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je! Tufanyeje na tuyashindaje majaribu? Tarehe 26 Machi 2026
L'articolo Je! Tufanyeje na tuyashindaje majaribu? proviene da Radio Maria.

Kwanini katika misiba ya Mapadre pamoja na Maaskofu wanavaa mavazi meupe na wakati wa misiba ya walei wanavaa zambarau?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Godfrey Msaki, kutoka Parokia ya Mtakatifu Gabriel Malaika Mkuu – Mbagala, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Swali ni Kwanini katika misiba ya Mapadre pamoja na Maaskofu wanavaa mavazi meupe na wakati wa misiba ya walei wanavaa zambarau? Tarehe 24 Machi 2026
L'articolo Kwanini katika misiba ya Mapadre pamoja na Maaskofu wan

Fahamu Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Desderius Mwambaluka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa. Tarehe 22 Machi 2026
L'articolo Fahamu Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa? proviene da Radio Maria.

Kwanini Yesu alimkubalia Dismasi kuawatakua pamoja mbinguni kabla hajamuondolea dhambi wakati yeye ni mdhambi?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Kostantine Haruna, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Yesu alipokua Msalabani alimwambia Dismasi leo tutakua pamoja peponi nahi nibaada yakumwomba aingie pepo je hii siyo rushwa na kwanini alimkubalia kabla hajamuondolea dhambi wakati yeye ni mdhambi? Tarehe 20 […]
L'art

Je tunajifunza ni kutokana na maneno ya Yesu pale Msalabani anapoonyesha kukata tamaa aliposema Mungu wangu mbona umeniacha?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Desderis Mwambaluka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je tunajifunza ni kutokana na maneno ya Yesu pale Msalabani anapoonyesha kukata tamaa aliposema Mungu wangu mbona umeniacha? Tarehe 19 Machi 2026
L'articolo Je tunajifunza ni kutokana na maneno ya Yesu pale Msalab

Je shetani aliumbwa na Mungu?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Elikana Nyagabona, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je shetani aliumbwa na Mungu? na Je maovu yanatoka wapi kama Mungu aliumba vitu vyote vikiwa vizuri? Tarehe 18 Machi 2026
L'articolo Je shetani aliumbwa na Mungu? proviene da Radio Maria.

Kwanini mapapa wanabadili majina baada yakupata wadhifa huo?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Benedict Luvanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini mapapa wanabadili majina baada yakupata wadhifa huo? Tarehe 17 Machi 2026
L'articolo Kwanini mapapa wanabadili majina baada yakupata wadhifa huo? proviene da Radio Maria.

Je Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Job Baraka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua kama Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu? Tarehe 16 Machi 2026
L'articolo Je Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu? proviene da Radio Maria.

Kwanini Kila Sala tunayosali, mwisho wa Sala tunasema Amina. Nini maana ya neno Amina.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Jackob Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya jumapili? Tarehe 15 Machi 2026
L'articolo Kwanini Kila Sala tunayosali, mwisho wa Sala tunasema Amina. Nini maana ya neno Amina. proviene da R

Je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya Jumapili?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya jumapili? Tarehe 13 Machi 2026
L'articolo Je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya Jumapili? proviene da Radio Maria.

Je nilazima mtu mgonjwa au anaeteseka awe ametenda dhambi?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Jacob Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kunauhusiano wowote kati ya ugonjwa au mateso na dhambi? Tarehe 11 Machi 2026
L'articolo Je nilazima mtu mgonjwa au anaeteseka awe ametenda dhambi? proviene da Radio Maria.

Kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israel wasimlilie yeye, bali wajililie wao wenyewe na watoto wao, pia alisema ikiwa wanafanya haya kwa mti mbichi itakuwaje kwa mti mkavu
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Kostantine Haruna, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israel wasimlilie yeye, bali wajililie wao wenyewe na watoto wao, pia alisema ikiwa wanafanya haya kwa mti mbichi itakuwaje kwa mti mkavu Tarehe 10 Machi […]
L'articolo Kwanini Yesu

Kwanini Yesu aitwe mwanakondoo wa Mungu nasiyo jina la mwanyama mwingine?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Melkizedeck Sanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini Yesu aitwe mwanakondoo wa Mungu nasiyo jina la mwanyama mwingine? Tarehe 09 Machi 2026
L'articolo Kwanini Yesu aitwe mwanakondoo wa Mungu nasiyo jina la mwanyama mwingine? proviene da Radio Maria.

Kwanini Yesu alilala wakati wa dhoruba?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani . Mwezeshaji ni Frateri Noah Joshua Mwamfupe, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini Yesu alilala wakati wa dhoruba? Tarehe 08 Machi 2026
L'articolo Kwanini Yesu alilala wakati wa dhoruba? proviene da Radio Maria.

Yesu Kristo aliposema nenda ukauze vile ulivyo navyo uwape maskini, nawe utakua na hazina Mbinguni Alikua anamaanisha nini?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani . Mwezeshaji ni Frateri Jackob Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Yesu Kristo aliposema nenda ukauze vile ulivyo navyo uwape maskini, nawe utakua na hazina Mbinguni Alikua anamaanisha nini? Tarehe 06 Machi 2026
L'articolo Yesu Kristo aliposema nenda ukauze vile ulivyo navyo uwape

Nini maana ya Tabernakulo?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni Nini maana ya Tabernakulo? Tarehe 05 Machi 2026
L'articolo Nini maana ya Tabernakulo? proviene da Radio Maria.

Je ni kituo cha ngapi alimrudishia Yesu Msalaba?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani . Mwezeshaji ni Shemasi Emilian Samson Mahinya, kutoka Seminari kuu Mtakatifu Augustino Peramiho. Jimbo Kuu la Songea Swali ni Katika njia ya msalaba kituo cha tano Simoni wa Kirene alimpokea Yesu msalaba, je ni kituo cha ngapi alimrudishia Yesu Msalaba Tarehe 03 Machi 2026
L'articolo Je ni kituo cha ngapi alimrudishia Yesu Msalaba? proviene da

Fahamu kuhusu kipindi Cha mwaka katika liturujia ya Kanisa katoliki hususani mpaka kufikia kipindi Cha kwaresima”
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Franco abel Ubamba kutoka katika hospitali ya Mtakatifu Yohane wa msalaba, Ipamba iliyopo katika parokia ya Moyo mtakatifu wa Yesu Tosamaganga Jimbo la Iringa Swali ni Naomba kueleweshwa kuhusu kipindi Cha mwaka katika liturujia ya Kanisa katoliki hususani mpaka kufikia kipindi Cha kwaresima” Tarehe […]
L'articolo Fahamu k

Kunatofauti gani kati ya kwaresima na Mfungo wa Ramadhani?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Franco abel Ubamba kutoka katika hospitali ya Mtakatifu Yohane wa msalaba, Ipamba iliyopo katika parokia ya Moyo mtakatifu wa Yesu Tosamaganga Jimbo la Iringa Mada ni Kunatofauti gani kati ya kwaresima na Mfungo wa Ramadhani? Tarehe 02 Machi 2026
L'articolo Kunatofauti gani kati ya kwaresima na Mfungo wa Ramadhani? provie

Nini maana ya kwaresima?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Franco abel Ubamba kutoka katika hospitali ya Mtakatifu Yohane wa msalaba, Ipamba iliyopo katika parokia ya Moyo mtakatifu wa Yesu Tosamaganga Jimbo la Iringa Mada ni Nini maana ya kwaresima? Tarehe 01 Machi 2026
L'articolo Nini maana ya kwaresima? proviene da Radio Maria.

Kwa mfano mtu akikukosea na hataki kukuomba msamaha hapo inapaswa kumfanyeje?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Shemasi Emmanuel mganga kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni Ni nani anaemchagua Papa? Tarehe 27 Februari 2026
L'articolo Kwa mfano mtu akikukosea na hataki kukuomba msamaha hapo inapaswa kumfanyeje? proviene da Radio Maria.

JE! NI KWELI KUWA SALA YA BABA YETU TUNAYOSALI WAKATOLIKI IPO KATIKA BIBLIA TAKATIFU?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Samson Tibianus, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni JE! NI KWELI KUWA SALA YA BABA YETU TUNAYOSALI WAKATOLIKI IPO KATIKA BIBLIA TAKATIFU? Tarehe 26 Februari 2026
L'articolo JE! NI KWELI KUWA SALA YA BABA YETU TUNAYOSALI WAKATOLIKI IPO KATIKA BIBLIA TAKATIFU? proviene da

Ni nani anaemchagua Baba Mtakatifu?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Magai Mussa kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni Ni nani anaemchagua Papa? Tarehe 25 Februari 2026
L'articolo Ni nani anaemchagua Baba Mtakatifu? proviene da Radio Maria.

Kwanini Kanisa Katoliki linaitwa Kanisa la Mitume?
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni Kwanini Kanisa Katoliki linaitwa Kanisa la Mitume? Tarehe 24 Februari 2026
L'articolo Kwanini Kanisa Katoliki linaitwa Kanisa la Mitume? proviene da Radio Maria.

Kristu Anarejesha Amani na furaha mioyoni mwetu.
Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu -Kagera, Mada ni Fumbo La Pasaka Mtangazaji ni Peter Alphaxad. Tarehe 15 April 2026
L'articolo Kristu Anarejesha Amani na furaha mioyoni mwetu. proviene da Radio Maria.

Wafahamu waanzilishi wa shirika la Watumishi wa Maria
Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu -Kagera, Mada ni Shirika la Watumishi wa Maria Mtangazaji ni Peter Alphaxad. Tarehe 05 March 2026
L'articolo Wafahamu waanzilishi wa shirika la Watumishi wa Maria proviene da

Wafahamu waanzilishi wa shirika la Watumishi wa Maria
Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu -Kagera, ambaye amefafanua kuhusu Mada ni Shirika la Watumishi wa Maria Mtangazaji ni Martin Joseph Tarehe 04 March 2026
L'articolo Wafahamu waanzilishi wa shirika la Watumish

Kituo cha Kumi na nne, Fahamu dhamiri ya Nickodem juu ya Kristu .
Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania. ambaye amefafanua kuhusu “Njia ya msalaba kituo cha 14 ikiwa niwakatika wa ukimya” na leo tutamuangalia Nickodem na Dhamiri yake juu […]
L'articolo Kituo cha

Wafahamu ndugu saba waliotokewa na Mama Bikira Maria na kuanzisha shirika la Watumishi wa Maria
Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre Deodatus Kagashe Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu. Mada ni Shirika la Watumishi wa Maria Mtangazaji ni Joyce Jonatus Tarehe 03 Machi 2026
L'articolo Wafahamu ndugu saba waliotokewa na Mama Bikira Maria na kuanzisha shirika l

Wafahamu washirika la Watumishi wa Maria
Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre Deodatus Kagashe Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu. Mada ni Shirika la Watumishi wa Maria Mtangazaji ni Joyce Jonatus
L'articolo Wafahamu washirika la Watumishi wa Maria proviene da Radio Maria.

Mfungo wa kwaresima
Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Mhasham Lazarus Vitalis Msimbe SDS, Askofu wa Jimbo la Morogoro. Mada ni “Mfungo wa kwaresima.” Mtangazaji ni Happiness Mlewa
L'articolo Mfungo wa kwaresima proviene da Radio Maria.

Mwaliko wa kufanya toba
Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre Clement Kihiyo , Katibu Mtendaji idara ya Liturujia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania. Mada ni “Mwaliko wa kufanya toba” Mtangazaji ni Happiness Mlewa
L'articolo Mwaliko wa kufanya toba proviene da Radio Maria.

LIFAHAMU JUMA LA MIITO MITAKATIFU KATIKA KANISA
Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu -Kagera, ambaye amefafanua kuhusu “Juma la Miito Mitakatifu na wito wa Baba Mtakatifu Leo XIV katika kuombea miito. Mtangazaji ni Agatha Kisimba.
L'articolo LIFAHAMU JUMA LA MI

UNDANI WA MIAKA 40 HOSPITALI YA KARDINALI RUGAMBWA
Karibu usikilize Kipindi cha Elimu Jamii kuhusu “Maadhimisho ya miaka 40 ya Hospitali ya Kardinali Rugambwa ya Mkoani Dar es salaam”. Mwezeshaji wa Kipindi hiki ni Mkurugenzi na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Kardinali Rugambwa akiwa sambamba na watumishi wa hospitali hiyo. Mtangazaji ni Agatha Kisimba.
L'articolo UNDANI WA MIAKA 40 HOSPITALI YA KARDINALI RUGAMBWA proviene da Radio Maria.

UNAJUA KUWA MITANDAO YA KIJAMII NI FURSA YA AJIRA..?
Karibu usikilize Kipindi cha Elimu Jamii kuhusu “Kampeni ya Fursa Sana” inayoratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili uizfahamu fursa zinazopatikana kwenye mitandao ya kijamii. Wawezeshaji wa Kipindi hiki ni Afisa Mawasiliano Mwandamizi kutoka TCRA Bi. Herieth Shija pamoja na Mhandisi Mohamed Bokko pia kutoka TCRA. Mtangazaji ni Agatha Kisimba.
L'articolo UNAJUA KUWA MITANDAO YA KIJA

FAHAMU UMUHIMU WA USHAURI WA KISAIKOLOJIA
Karibu usikilize Kipindi cha Elimu Jamii kuhusu “umuhimu wa huduma ya ushauri wa Kisaikolojia” Mwezeshaji wa kipindi hiki ni Mtaalamu wa Saikolojia kutoka Kituo cha Tiba na Utengamao cha Anthonia Verna Kawe Mkoani Dar es salaam Bw. Asadi Mwengwa. Mtangazaji ni Agatha Kisimba.
L'articolo FAHAMU UMUHIMU WA USHAURI WA KISAIKOLOJIA proviene da Radio Maria.

Je nadhiri maana yake ni nini?
Karibu katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, swali la msikilizaji Je nadhiri maana yake ni nini?
L'articolo Je nadhiri maana yake ni nini? proviene da Radio Maria.

Dhambi ya ulimwengu ni dhambi gani?
Karibu katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu Ya Mtakatifu Augustino Jimbo Kuu La Songea, akijibu swali la msikilizaji Dhambi ya ulimwengu ni dhambi gani?
L'articolo Dhambi ya ulimwengu ni dhambi gani? proviene da Radio Maria.











