
On Air Church Radio ni kituo cha redio cha kidini kilichoanzishwa mwaka 2018 chini ya kampuni ya On Air Church Media, kinapatikana mjini Arusha, Tanzania. Kituo kinatangaza neno la Mungu, mahubiri, ibada na muziki wa injili kwa Kiswahili, na husikilizwa mtandaoni kupitia Zeno.fm na mitandao ya YouTube, TikTok na Instagram.
Playlist
KUMBE "OLODUMARE" NI USHETANI SIRI YAFICHUKA JOEL LWAGA ATUHUMIWA KUMWABUDU SHETANIVOT MEDIA
09:09