
AMANI Radio FM 100.5 Arusha ni chombo cha kujenga na kustawisha jamii kiimani ili kuishi Injili ya Kristo kwa matendo. Kituo cha redio cha Jimbo Kuu Katoliki Arusha kinachotangaza kwa masafa ya 100.5 FM, kikitoa vipindi vya kiroho, habari na elimu kwa jamii ya Arusha na Watanzania kwa ujumla.