
V.O.G Ministry Online Radio ni kituo cha redio ya Kikristo (injili) kinachotangaza kutoka Morogoro, Tanzania. Kituo hiki kinahubiri injili ya Yesu Kristo kwa mataifa yote, kikisaidia watu kuelewa mapenzi ya Mungu kupitia Neno la Mungu. Mwanzilishi na kiongozi wa huduma hii ni Nabii Elly Maarifa.