
NGUVU YA MAOMBI ni online radio ya Kikristo inayosimamiwa na Mwl Renald Mlawi. Inatoa maombi, mafundisho ya Biblia, na nyimbo za injili kwa wateja wake. Maono yake ni kuwa na watu wengi wanaousimamisha Ufalme wa Mungu mahali popote duniani kupitia maombi na Neno la Mungu.