Kesheni Mkiomba ni redio ya Kikristo inayotangaza mafundisho ya Neno la Mungu, maombi na ushauri wa kiroho pamoja na muziki wa Injili. Inaendeshwa na Kesheni Mkiomba Fellowship iliyoanzishwa na Mchungaji Patrick Mwangota mwaka 2023, makao yake yakiwa Dar es Salaam, Tanzania. Inasikilizwa moja kwa moja kupitia mtandao wa Zeno FM.