
Standard Radio ni kituo cha redio cha Standard Voice Limited, kilichoanzishwa mwaka 2012 mjini Singida, Tanzania. Kinalenga kuelimisha, kuburudisha na kuwaunganisha wananchi kwa taarifa za maendeleo, habari na burudani. Inapatikana kwenye masafa 90.1 FM Singida, 91.5 FM Babati, 90.9 FM Tabora na 94.8 FM Shinyanga.