
Revival FM 91.1 ni radio ya Kikristo inayomilikiwa na Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) yenye makao yake Babati, Mkoa wa Manyara. Inatangaza injili, muziki wa kiroho, habari za jamii na matukio ya mkoa wa Manyara, Arusha na baadhi ya wilaya za Dodoma.