
EKU FM ni kituo cha redio ya mtandaoni (online radio) chenye makao yake makuu Dar es Salaam, Tanzania, kinachosikika masaa 24. Kinalenga kuwaleta watu pamoja kwa burudani isiyochosha, habari, muziki wa kujenga, makala, hadithi na mada muhimu zinazokujenga kifikra na kimwili. EKU ni kifupi cha "Endeleza Kitu/Kipaji Ulichonacho".