
Ishizwe FM Radio ni kituo cha redio cha Ishizwe Media TZ Company Limited kilichopo Ngara, mkoa wa Kagera (Lake Zone), Tanzania. Kinapeperusha habari, mazungumzo na burudani (muziki) kwa lugha ya Kiswahili na Kiingereza, pamoja na Ishizwe TV (Online). Kituo kina lengo la kujenga jamii iliyo na taarifa bora na kuendelea kiuchumi.