
Main FM 91.7 ni redio ya kibiashara inayomilikiwa na Mainstream Media Limited, ikiwa na makao yake Kilimahewa Mwanga, Kigoma. Inatangaza katika wilaya nzima ya Kigoma ikilenga kuelimisha, kuburudisha na kuleta habari mbalimbali kwa jamii. Inajulikana kwa michezo, habari za kitaifa na burudani.