
Times FM ni redio namba moja ya michezo nchini Tanzania inayotangaza saa 24 kwa siku. Inarusha moja kwa moja mechi za English Premier League (EPL), uchambuzi wa michezo, habari za burudani, na mahojiano na mastaa mbalimbali. Inapatikana Dar es Salaam 100.5 FM, Pwani 100.5 FM, Mbeya 95.3 FM, Iringa 92.5 FM, na Dodoma 101.3 FM.